StatsCrop - Free website analyzer!

Ads 468x60px

AddToAny

Lorem

Social Icons

October 6, 2012

WAFANYAKAZI WA VODACOM TANZANIA WAENDESHA KLINIKI TANESCO

Tweeted this Like this, be the first of your Friends


Meneja Ufundi wa kampuni ya Mawasiliano ya VodacomTanzania Simon Martin akimwelekeza mmoja wa wafanyakazi wa Shirika la umeme Tanesco jinsi ya kujaza fomu za maoni kuhusu huduma za kampuni hiyo wakati wa kliniki iliyofanyika makao makuu ya shirika hilo Ubungo jijini Dar es Salaam.

Baadhi ya Wafanyakazi wa VodacomTanzania wakiwa kwenye picha ya pamoja baada ya kushiriki katika kliniki ya utoaji maoni kuhusu huduma za kampuni yao kwa wafanyakazi wa Shirika la umeme Tanesco iliyofanyika makao makuu ya shirika hilo Ubungo jijini Dar es Salaam.

0 comments:

Post a Comment

Toa maoni yako hapa!

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
 
Web Directories
PageHeat