Tweeted this
Like this, be the first of your Friends
Meneja Ufundi wa kampuni ya Mawasiliano ya VodacomTanzania Simon Martin akimwelekeza mmoja wa wafanyakazi wa Shirika la umeme Tanesco jinsi ya kujaza fomu za maoni kuhusu huduma za kampuni hiyo wakati wa kliniki iliyofanyika makao makuu ya shirika hilo Ubungo jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya Wafanyakazi wa VodacomTanzania wakiwa kwenye picha ya pamoja baada ya kushiriki katika kliniki ya utoaji maoni kuhusu huduma za kampuni yao kwa wafanyakazi wa Shirika la umeme Tanesco iliyofanyika makao makuu ya shirika hilo Ubungo jijini Dar es Salaam.
October 6, 2012
WAFANYAKAZI WA VODACOM TANZANIA WAENDESHA KLINIKI TANESCO
Millionfortune.com
JAMII
Facebook Blogger Plugin by JustNaira.com | Get Widget
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment
Toa maoni yako hapa!