StatsCrop - Free website analyzer!

Ads 468x60px

AddToAny

Lorem

Social Icons

August 4, 2012

DONDOO ZA MICHEZO

Tweeted this Like this, be the first of your Friends
 

Keita aondoka Barcelona Ahamia klabu ya Dalian Aerbin ya China












Uruguay yaaga olympic

Nyota na mshambuliaji wa Uruguay Luis Suarez amewashutumu mashabikii wa Uingereza kwa kuizomea timu yake wakati wimbo wa Taifa lake ukitumbuizwa.Uruguay ilishindwa dhidi ya Uingereza katika mechi kwenye uwanja wa Millennium kwa 1-. Katika michuano mingine Misri ilijiunga na Brazil katika robo fainali na itachuana na Japan iliyoichapa Belarus 3-1

 


Inter yapata wamiliki wa bara Asia
 
Klabu ya Uitaliano Inter Milan inasema kua kundi la wawekezaji kutoka Uchina limejitokeza kua wawekezaji wa pili kwa ukubwa wa kumiliki hisa za klabu hiyo. Wameahidi kujenga uwanja mpya.Klabu hio imetangaza kua Kamchi Li, Kenneth Huang na Fabrizio Rindi wote watakua wakurugenzi kwenye bodi kutokana na uwekezaji huu.


Arsenal kusajili wawili kwa mpigo

Sahin na Cazorla watazamiwa wiki hii. Arsenal inajitahidi kukamilisha utiaji saini wa makubaliano ya mkataba wa kudumu na mchezaji Santi Cazorla kutoka klabu ya Malaga pamoja na mcheza kiungo mwenzake Nuri Sahin anayeingia kwa makubalino ya mkopo kutoka klabu ya Real Madrid.

0 comments:

Post a Comment

Toa maoni yako hapa!

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
 
Web Directories
PageHeat