StatsCrop - Free website analyzer!

Ads 468x60px

AddToAny

Lorem

Social Icons

August 22, 2012

SIR ANDY CHANDE KIONGOZI MSTAAFU WA FREEMASON NDANI YA CLOUDS FM

Tweeted this Like this, be the first of your Friends

Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Clouds Media Group,Joseph Kusaga akizungumza na Kiongozi Mstaafu wa Freemasons Afrika Mashariki,Sir Andy Chande ofisini kwake mapema leo mjengoni hapo,ambapo baadaye pia alifanya ziara fupi na kujionea vitengo mbalimbali vya kampuni hiyo namna ambavyo vinafanya kazi.
Mazungumzo yakiendelea ya hapa na pale.
Kiongozi Mstaafu wa Freemasons Afrika Mashariki,Sir Andy Chande akisikiliza jambo kwa umakini.
Mkurugenzi wa Clouds Media Group,Joseph Kusaga akiagana na wageni wake mara baada ya kufanya mazungumzo nao mapema leo,kwenye ofisi za kampuni hiyo,Mikocheni jijini Dar.
Mkurugenzi wa Clouds Media Group,Joseph Kusaga akiagana na mgeni wake Kiongozi Mstaafu wa Freemasons Afrika Mashariki,Sir Andy Chande.
Kiongozi Mstaafu wa Freemasons Afrika Mashariki,Sir Andy Chande akiondoka taratiibu mjengoni Clouds Media Group mapema leo mara baada ya kufanya ziara fupi kwenye ofisi hizo na kujionea mambo lukuki yanayofanywa na kampuni hiyo.

0 comments:

Post a Comment

Toa maoni yako hapa!

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
 
Web Directories
PageHeat