StatsCrop - Free website analyzer!

Ads 468x60px

AddToAny

Lorem

Social Icons

August 22, 2012

MGOGORO WA NYUMBA KARIAKOO WAZUA TAFRANI

Tweeted this Like this, be the first of your Friends
Askari wa Kikosi Cha kutuliza Ghasia FFU wakiweka ulinzi mkali eneo la Kariakoo baada ya kufunga mitaa ya Kongo na ile ya jirani kutokana na kuibuka vurugu zilizotokana na ugonvi wa nyumba ambayo kwa maelezo ya watu wa karibu nyumba hiyo ilikuwa na mgogoro kwa zaidi ya miaka 20 kati ya wamiliki na wapangaji kutokana na kutengeneza hati feki.

Mmoja wa majeruhi kwenye vurugu hizo akiondolewa eneo la soko la Kariakoo baada ya kuanguka chini kutokana na milipuko ya mabomu ya machozi yaliyokuwa yakitumiwa na askari polisi waliofika kutuliza ghasia katika eneo hilo, ambayo iliambatana na mawe yaliyokuwa yakirushwa na vijana waliokua wakitetea upande mmoja wa ugomvi huo.

Wananchi wakizungumza na waandishi wa habari kutoa maoni yao juu ya mgogoro huo.

Kikosi cha kampuni ya Yono Auction Mart iliyopewa tenda ya kusimamia ubomoaji wa nyumba hiyo chini ya ulinzi mkali wa polisi wakiendelea na kazi kwenye nyumba hiyo iliyopo mtaa wa Kongo.

0 comments:

Post a Comment

Toa maoni yako hapa!

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
 
Web Directories
PageHeat