
Msanii nyota wa Filamu hapa nchini Wema Sepetu akiwaonjesha washabiki wake kipaji kingine mbadala ya uigizaji usiku huu kwenye tamasha la Serengeti Fiesta 2012

Pichani kulia ni Ofisa Mahusiano wa kampuni ya Clouds Media Group,Simalenga akizungumza jambo na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro,Mh Joel Bendera ambaye ni mgeni rasmi usiku huu ndani ya uwanja wa Jamhuri,wakati tamasha la Serengeti likiendelea kufanyika.

Pichani juu na chini ni Msanii wa muziki wa kizazi kipya Dayna na kundi lake la Wakali wa Classic wakitumbuiza jukwaani


Ni burrudani tu ndani ya muonekano mpya wa tamasha la serengeti fiesta 2012.

Msanii chipukizi kutoka nyumba ya vipaji,THT,Alini Nipishe akiimba na shabiki wake jukwaani usiku huu wakati tamasha la Serengeti Fiesta 2012 likiendelea.

Michael Jackson wa Morogoro akionesha umahiri wake kuchenza nyimbo za The Wacko Jacko.
0 comments:
Post a Comment
Toa maoni yako hapa!