Magari yakiwa katika foleni katika kipande cha barabara ambacho kampuni ya Ujenzi ya AARSLEFF-INTERBETON JV inaendelea kukujengwa kwa kiwango cha lami. Ujenzi huo wa barabara ni kutoka Iringa hadi Mafinga. Kampuni hiyo pia ilijenga kipande cha barabara kutoka Iyovi hadi Iringa na kile kipande kidogo cha kuingia Iringa mjini “access road”.
Madereva wamekuwa wakilala mika kusimama kwa muda mrefu katika maeneo hayo na kuchelewa safari.
Barabara ikiwa imefunguliwa na magari ya upande mmoja kuruhusiwa kupita.
Wakiendelea kusubiri wenzao wapite
Mafundi wa kampuni ya Ujenzi ya AARSLEFF-INTERBETON JV wakiendelea na ujenzi




0 comments:
Post a Comment
Toa maoni yako hapa!