StatsCrop - Free website analyzer!

Ads 468x60px

AddToAny

Lorem

Social Icons

September 24, 2012

HII NDIO ADHA WANAYOIPATA WASAFIR WAKATI HUU WA UJENZI WA BARABARA YA IRINGA-MAFINGA

Tweeted this Like this, be the first of your Friends

Magari yakiwa katika foleni katika kipande cha barabara ambacho kampuni ya Ujenzi ya AARSLEFF-INTERBETON JV inaendelea kukujengwa kwa kiwango cha lami. Ujenzi huo wa barabara ni kutoka Iringa hadi Mafinga. Kampuni hiyo pia ilijenga kipande cha barabara kutoka Iyovi hadi Iringa na kile kipande kidogo cha kuingia Iringa mjini “access road”.


Madereva wamekuwa wakilala mika kusimama kwa muda mrefu katika maeneo hayo na kuchelewa safari.

Barabara ikiwa imefunguliwa na magari ya upande mmoja kuruhusiwa kupita.
Wakiendelea kusubiri wenzao wapite

Mafundi wa kampuni ya Ujenzi ya AARSLEFF-INTERBETON JV wakiendelea na ujenzi

0 comments:

Post a Comment

Toa maoni yako hapa!

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
 
Web Directories
PageHeat