StatsCrop - Free website analyzer!

Ads 468x60px

AddToAny

Lorem

Social Icons

September 24, 2012

HUYU NDIYE ALIYETWAA REDDS MISS KANDA YA ZIWA 2012

Tweeted this Like this, be the first of your Friends




Katikati ni mshindi wa Redds Miss Lake zone 2012/13 Eugene Fabian kutoka Mara akiwa katika sura ya furaha mara baada ya kutangazwa rasmi kunyakua taji hilo, Kushoto kwake ni mshindi wa Tatu Happiness Rweyemamu kutoka Shinyanga na Kulia kwake ni mshindi wa pili Happiness Daniel kutoka Mwanza. Washindi hawa watatu watawakilisha Kanda ya ziwa katika shindano la taifa linalotarajiwa kufanyika baadaye mwezi ujao. Mshindi wa kwanza ameondoka na kitita cha shilingi Laki 7, mshindi wa pili laki 5 na mshindi wa tatu laki nne na nusu

0 comments:

Post a Comment

Toa maoni yako hapa!

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
 
Web Directories
PageHeat