StatsCrop - Free website analyzer!

Ads 468x60px

AddToAny

Lorem

Social Icons

September 7, 2012

MEGATRADE YAPATA CHETI CHA MSHINDI WA KWANZA KATIKA MAONESHO YA KIMATAIFA YA BIASHARA YA AFRIKA MASHARIKI JIJINI MWANZA

Tweeted this Like this, be the first of your Friends

 Banda la MEGATRADE INESTIMENT linavyoonekana katika maonesho ya kimataifa ya biashara ya Afrika Mashariki(EATF)yanayoendelea katika viwanja vya Nyamagana jijini Mwanza.
 Wafanyakazi wa MEGATRADE INVESTIMENT wakifurahia baada yakukabidhiwa cheti cha ushindi nafasi ya  kwanza katika Category ya “Food and Beverage processors”atika maonesho  ya kimataifa ya biashara ya Afrika

Mashariki(EATF)yanayoendelea katika viwanja vya Nyamagana jijini Mwanza.

 Banda la MEGATRADE linavyoonekana mara baada ya kuingia ndani.
 Mgeni rasmi katika maonesho ya kimataifa ya ya biashara ya Afrika Mashariki ,Waziri wa viwanda na biashara Dr Abdallah Kigoda (MB) 
 Kikombe pamoja na cheti  iliyojinyakulia  kampuni ya MEGATRADE ya jijini Arusha inayozalisha vinywaji vikali vya K-VANT GIN na KIROBA.

0 comments:

Post a Comment

Toa maoni yako hapa!

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
 
Web Directories
PageHeat