StatsCrop - Free website analyzer!

Ads 468x60px

AddToAny

Lorem

Social Icons

October 6, 2012

DK.SHEIN APOKEA WAYA MPYA WA UMEME WENYE UREFU WA KM 37

Tweeted this Like this, be the first of your Friends

Waya wa Baharini utakaotumika katika Mradi wa ulazaji waya wa pili wa Umeme kutoka Ras-Kiromoni Dar es Salaam hadi Ras-Fumba Zanzibar,wenye urefu wa 37 Kilomita, katika Bandari ya Malindi ukiwa katika Meli ya Kampuni ya Viscas kutoka nchini Japan

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, alipokuwa akisalimiana na Msaidizi Mtendaji Mkuu wa MCA-T kwa upande wa Zanzibar, Bw,Ahmed Rashid,alipowasili katika Bandari ya Malindi Mjini Unguja leo,kuupokea na kuukagua waya huo wa Umeme ,utakaolazwa kwa siku Kumi na mbili kutoka Ras-Kiromoni Dar es Salaam hadi Ras-Fumba Zanzibar. [Picha na Ramadha

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,( kushoto) akifuatana na Waziri wa Ardhi Makaazi Maji na Nishati,Ramadhan Abdalla Shaaban,alipofika katika Bandari ya Malindi Mjini Unguja leo,Kuupokea na Kuukagua Waya wa Baharini utakaotumika katika Mradi wa Ulazaji waya wa pili wa Umeme kutoka Ras-Kiromoni Dar es Salaam hadi Ras-Fumba Zanzibar,ukiwa katika Meli ya Kampuni ya Viscas kutoka nchini Japan.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]

Mkurugenzi wa Shirika la Umeme Zanzibar Hassan Ali Mbarouk akizungumza na Waandishi wa Habari baada ya Rais Dk Ali Mohd Shein kuupokea Waya Mpya wa Umeme wenye uwezo wa kuchukua Megawati 100.kutoka Tanzania Bara hadi Zanzibar.

0 comments:

Post a Comment

Toa maoni yako hapa!

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
 
Web Directories
PageHeat