Tweeted this
Like this, be the first of your Friends





Bwana Gordon Igesund kocha wa Bafana Bafana akimwaga machozi


Marehemu Thomas madigage alikuwa kocha msaidizi wa Bafana Bafana timu ya taifa South Africa, Madigage amefarikiki kwa ajali ya gari akiwa na umri wa miaka 41 na kuzikwa Limpopo, South africa.
0 comments:
Post a Comment
Toa maoni yako hapa!