
Waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi Dr. Shukuru Kawambwa akila chakula cha mchana na wanafunzi wa shule ya msingi ya Arusha. alipofanya ziara ya kushtukiza ,kujionea huduma za chakula inayotolewa kwa wanafunzi shuleni hapo.

Waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi Dr. Shukuru Kawambwa akifurahia chakula cha mchana na wanafunzi wa shule ya msingi ya Arusha.

Waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi Dr. Shukuru Kawambwa akijilamba chakula cha mchana na wanafunzi wa shule ya msingi ya Arusha.Huku waandishi wa habari wakipata matukio.
0 comments:
Post a Comment
Toa maoni yako hapa!