StatsCrop - Free website analyzer!

Ads 468x60px

AddToAny

Lorem

Social Icons

October 31, 2012

WAZIRI WA ELIMU DR. SHUKURU KAWAMBWA KATIKA ZIARA YA KUSHTUKIZA KATIKA SHULE YA MSINGI ARUSHA

Tweeted this Like this, be the first of your Friends

Waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi Dr. Shukuru Kawambwa akila chakula cha mchana na wanafunzi wa shule ya msingi ya Arusha. alipofanya ziara ya kushtukiza ,kujionea huduma za chakula inayotolewa kwa wanafunzi shuleni hapo.


Waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi Dr. Shukuru Kawambwa akifurahia chakula cha mchana na wanafunzi wa shule ya msingi ya Arusha.


Waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi Dr. Shukuru Kawambwa akijilamba chakula cha mchana na wanafunzi wa shule ya msingi ya Arusha.Huku waandishi wa habari wakipata matukio.

0 comments:

Post a Comment

Toa maoni yako hapa!

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
 
Web Directories
PageHeat