Taarifa
kutoka Zanzibar zinadai kuwa jumla ya miili 68 hadi saa 2.usiku wa jana
imeokolewa kwa siku ya jana ,hata hivyo serikali yatangaza
maombolezo ya siku tatu kuwalilia waliokufa ajali ya meliHata hivyo idadi ya watu walikuwemo katika meli hiyo ni 290 pamoja na wafanyakazi wa meli hiyo .
Kwa mujibu wa waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu sera na uratibu wa bunge Mhe.Wiliam Lukuvi ,Rais Dkt Jakaya Kikwete ametangaza siku tatu za watanzania kuomboleza msiba huo mkubwa kwa Taifa




0 comments:
Post a Comment
Toa maoni yako hapa!