StatsCrop - Free website analyzer!

Ads 468x60px

AddToAny

Lorem

Social Icons

August 6, 2012

BREAKING NUUUZ: ASKARI POLISI ALIYEWAANIKA WENZAKE AJINYONGA

Tweeted this Like this, be the first of your Friends Na millionfortune.com
Photo: BREAKING NEWS          BREAKING NEWS. YULE Askari jasiri Donald Julius Mathew mwenye namba za polisi F 3276 aliyejitokeza hazarani na kuwaataja askari wenzake wa mkoani hapa akiwashutumu kwa mambo mbali mbali ya kiwemo ya kushirlikiana na waharifu.  Leo saa 11 Alfajiri mwili wake ulikutwa ukining'inia juu ya mti uliopo jirani na daraja la Shani katikati ya mji wa Morogoro akidaiwa kujinyonga.kabla ya kufika uamuzi huo baadhi ya wananchi wa mkoani hapa jana mchana walimshuhdia Afande huyo ambaye ni maarufu kwa jina la Dunga akilanda landa kwenye mtaa ya mji wa Morogoro huku akionekana kama mtu aliyechnganyikiwa.  Picha zaidi na habari ya tukio hilo tembelea mtandao wa 'www.globalpublisherstz.com' baada ya muda mfupi ujao
YULE Askari jasiri Donald Julius Mathew mwenye namba za polisi F 3276 aliyejitokeza hazarani na kuwaataja askari wenzake wa mkoani hapa akiwashutumu kwa mambo mbali mbali ya kiwemo ya kushirlikiana na waharifu.
Leo saa 11 Alfajiri mwili wake ulikutwa ukining'inia juu ya mti uliopo jirani na daraja la Shani katikati ya mji wa Morogoro akidaiwa kujinyonga.kabla ya kufika uamuzi huo baadhi ya wananchi wa mkoani hapa jana mchana walimshuhdia Afande huyo ambaye ni maarufu kwa jina la Dunga akilanda landa kwenye mtaa ya mji wa Morogoro huku akionekana kama mtu aliyechnganyikiwa.

2 comments:

Anonymous said...

Makubwa

Anonymous said...

jamani

Post a Comment

Toa maoni yako hapa!

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
 
Web Directories
PageHeat