StatsCrop - Free website analyzer!

Ads 468x60px

AddToAny

Lorem

Social Icons

September 12, 2012

MH. MIZENGO PINDA AKIZINDUA MRADI WA NYUKI GEITA

Tweeted this Like this, be the first of your Friends
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizindua mradi wa ufugaji nyuki wa Bugulula wilayani Geita akiwa katika ziara ya mkoa wa Geita Septemba 10, 2012.

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua mradi wa ufugji nyuki wa kijiji cha Bugulula baada ya kuufungua Septemba 10, 2012. Kushoto ni Mkuu wa mkoa wa Geita, Magalula Maglula.

Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akizungumza na wanawake wa kijiji cha Bugulula baada ya kufngua mradi wa ufugaji nyuki akiwa katika ziara ya mkoa wa Geita, Septemba 10, 2012.Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu

0 comments:

Post a Comment

Toa maoni yako hapa!

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
 
Web Directories
PageHeat