StatsCrop - Free website analyzer!

Ads 468x60px

AddToAny

Lorem

Social Icons

August 22, 2012

HALI YA AFYA YA BIBI KIDUDE YARIPOTIWA KUWA SIO NJEMA

Tweeted this Like this, be the first of your Friends

 

Bi Kidude akiwa na Maalim Sherif Hamad

Taarifa zilizofika punde kutoka visiwani Zanzibar zinadai kuwa mwanamuziki mkongwe wa Taarab nchini Bi. Kidude anaumwa. Aidha, mjukuu wake alizungumza na televisheni ya Zanzibar na kutabaisha hali  ya kiafya ya bibi yake na kuomba msaada kutoka kwa wasanii mbalimbali kwani  kwa sasa anamuuguza kwa shida kutokana na kushindwa kumudu gharama.
Taarifa zaidi zinasema Bi. Kidude anaumwa tangu wiki iliyopita.na hana mdau hata mmoja wa muziki aliyejitokeza kumsaidia hivyo kwa wapenzi na wadau  wenye uwezo wajitokeze kumsaidia bi Kidude ili apate matibabu na arejee katika hali yake ya kawaida 

0 comments:

Post a Comment

Toa maoni yako hapa!

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
 
Web Directories
PageHeat