StatsCrop - Free website analyzer!

Ads 468x60px

AddToAny

Lorem

Social Icons

September 14, 2012

CHADEMA WAANDAMANA MJINI MOROGORO

Tweeted this Like this, be the first of your Friends


Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa, John Heche akiongea na wafuasi wa Chadema kwenye ofisi za chama hicho eneo la Kingo.
Maandamano yakiongozwa na askari waliokuwa wakidumisha ulinzi.

Maandamano ya Chadema yakiendelea mkoani Moro.


Wafuasi wa Chadema wakiandamana jioni hii.

Mama huyu nae aliamua kuwaunga mkono Wanachadema.

WAFUASI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) mkoani Morogoro, jioni hii wameandamana kwa amani kutoka maeneo ya Nane Nane walipokwenda kumpokea Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa, John Heche hadi ofisi za makao makuu ya chama hicho ya mkoani hapa, yaliyopo mtaa wa Kingo. Baada ya kufika kwenye ofisi hizo, Heche alizungumza na wafuasi wa chama hicho.
(PICHA ZOTE NA DUNSTAN SHEKIDELE / GPL)

0 comments:

Post a Comment

Toa maoni yako hapa!

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
 
Web Directories
PageHeat