StatsCrop - Free website analyzer!

Ads 468x60px

AddToAny

Lorem

Social Icons

September 24, 2012

HUYU NDIYE CHUCHU HANS ALIYEAPA KUWA HAWEZI KUTOKA NJE YA NDOA

Tweeted this Like this, be the first of your Friends
 
Chuchu Hans.

PAMOJA na kukiri kupewa uhuru wa kutosha na mumewe Frank Mtao, mkali wa Bongowood, Chuchu Hans amefunguka kuwa hawezi kutoka nje kama mastaa wengine wanavyoandamwa na skandali hiyo.
Chuchu aliiambia Bongowood kuwa anajitambua yeye ni nani katika jamii hivyo skendo haiwezi kumpata hata siku moja kwani hana tamaa ya fedha kama wengine.

0 comments:

Post a Comment

Toa maoni yako hapa!

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
 
Web Directories
PageHeat