StatsCrop - Free website analyzer!

Ads 468x60px

AddToAny

Lorem

Social Icons

September 17, 2012

PETER CROUCH: NIKIPEWA NAFASI YA KUICHEZEA TIMU YA TAIFA NTAIPOKEA KWA MIKONO MIWILI

Tweeted this Like this, be the first of your Friends
Peter Crouch
Peter Crouch bado anataka kuichezea timu yake ya taifa England, licha ya kuwa hakuchukuliwa katika kikosi hicho na Roy Hodgson.
Meneja wa timu ya taifa alikataa kuchukua Crouch hivi karibuni katika mechi za kufuzu Kombe la Dunia dhidi ya Ukraine na Moldova, hata baada ya kuwa na majeruhi.
Hodgson alisema kumkataa mshambuliaji huyo wa Stoke inatokana na matukio yaliyojiri Euro 2012 na ndio aliyosisitiza kama ilikuwa ni sababu kuu katika uamuzi wake.
Lakini Crouch, 31, alithibitisha: "Kama nitapata nafasi ya kuchezea timu yangu ya taifa, itanibidi kuipokea nafasi hiyo kwa mikono miwili."

0 comments:

Post a Comment

Toa maoni yako hapa!

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
 
Web Directories
PageHeat