Kwa mwaka wa tatu mfululizo, kamati ya tuzo za uongozi bora barani Afrika za taasisi ya Mo Ibrahim imetangaza kuwa hakuna mshindi wa mwaka huu.
Tuzo hizo ambazo huambatana na kitita cha dola milioni 5 zilizoanzishwa na mjasiriamali mzaliwa wa Sudan Mo Ibrahim hutakiwa kutolewa kila mwaka kwa rais wa Afrika aliyechaguliwa kidemokrasia ambaye ataonesha uongozi bora na ambaye amestaafu mwenyewe.




0 comments:
Post a Comment
Toa maoni yako hapa!