StatsCrop - Free website analyzer!

Ads 468x60px

AddToAny

Lorem

Social Icons

August 15, 2012

MTOTO AFARIKI KATIKA AJALI YA GARI KIGAMBONI JANA

Tweeted this Like this, be the first of your Friends

Gari hilo likiwa mtaroni baada ya kupinduka.
Mwili wa mtoto ukiwa umenasa kwenye gari.
...Mwili huo ukitolewa kwenye gari.
Gari likitolewa katika mtaro huo.
 Mtoto aliyenusurika akimlilia mwenzake aliyefariki katika ajali hiyo.
Mtoto na dereva ambao wamenusurika katika ajali hiyo wakiwa na simanzi.
MTOTO mmoja ambaye hakufahamika jina lake, amefariki dunia katika ajali ya gari eneo la Kigamboni Machava leo wakati gari hilo likitokea Mji Mwema kuelekea Kivukoni. Ajali hiyo imetokea baada ya gari hilo lenye namba za usajili T 645 AVG kufunga breki ghafla kutokana na gari lililokuwa mbele yake nalo kusimama ghafla hivyo kusababisha gari hilo kuingia mtaroni na kupoteza uhai wa mtoto huyo.

0 comments:

Post a Comment

Toa maoni yako hapa!

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
 
Web Directories
PageHeat