Hizi ni picha za wachezaji wa Chelsea wakiwa mazoezini kujiandaa na mechi yao ya leo na Atletico Madrid kwenye UEFA Super Cup, timu ambayo Fernando Torres aliwahi kuichezea kabla ya kujiunga na Liverpool 2007 na anasema ndio club pekee anayoizimia sana duniani.
Eden Hazard.
Kipa Petr Cech.
.
0 comments:
Post a Comment
Toa maoni yako hapa!