StatsCrop - Free website analyzer!

Ads 468x60px

AddToAny

Lorem

Social Icons

September 28, 2012

HIVI NDIVYO HALI ILIVYO KWA SASA BAADA YA WAMACHINGA KUVAMIA ENEO LA MTU KILOMBERO ARUSHA

Tweeted this Like this, be the first of your Friends



Wafanyabiasha wadogowadogo maarufu kama wamachinga ambao walivamia  maaneo ya kufanyia biashara, katika eneo la stendi ya zamani ya Kilombero. Wamachinga hao bado mpaka mchana huu wameonekana wakitapakaa maeneo hayo licha ya kuzuiwa na vyombo husika mpaka muafaka utakapopatikana kuhusu eneo watalopewa kufanyia biashara zao rasmi.

0 comments:

Post a Comment

Toa maoni yako hapa!

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
 
Web Directories
PageHeat