StatsCrop - Free website analyzer!

Ads 468x60px

AddToAny

Lorem

Social Icons

September 17, 2012

SERIKALI YA KIJIJI YAAMURU KUTOLALA CHUMBA KIMOJA NA MAMA YAKE BAADA YA KUBAINIKA ANA UHUSIANO WA ...

Tweeted this Like this, be the first of your Friends



Mwenyekiti wa kijiji cha Dilifu Pichani kata ya Itenka wilayani mlele mkoa wa katavi Elineo Mbaruku akitoa maelezo kwa mwandishi wa habari hizi kuhusiana na maamuzi ya uongozi wa kijiji hicho cha Dilifu kutoa uamuzi wa kumtenganisha kijana mmoja aliyejulikana kwa la Kwimba (28) kulala chumba kimoja na mama yake mzazi. uamuzi huo wa serikali ya kijiji umefuatia tuhuma za mama na mwanae kuwa na mahusiano ya kimapenzi mwenyekiti huyo wa kijiji alisema tayari kwimba ametii agizo hilo na amekwisha hama kwenye nyumba hiyo na amepanga chumba kijijini hapo.
Picha na Walter Mguluchuma- Katavi yetu Blog

0 comments:

Post a Comment

Toa maoni yako hapa!

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
 
Web Directories
PageHeat