Basi la Dar Express limepata ajali ya kuungua moto JANA asubuhi katika njia panda ya Dar, Arusha, Tanga (Segera) hakuna mtu aliyejeruhiwa wala kupoteza maisha. Katika ajali hiyo mizigo yote iliteketea kwa moto huo ambapo abiria wengi waliokuwamo kwenye gari hilo walikuwa ni wanafuzi.Picha na Samweli Mikuza
October 3, 2012
Taswira za Jinsi Basi la Dar Express Lilivyowaka Moto Njia Panda ya Dar,Arusha,Tanga(Segera)
Tweeted this
Like this, be the first of your Friends
Basi la Dar Express limepata ajali ya kuungua moto JANA asubuhi katika njia panda ya Dar, Arusha, Tanga (Segera) hakuna mtu aliyejeruhiwa wala kupoteza maisha. Katika ajali hiyo mizigo yote iliteketea kwa moto huo ambapo abiria wengi waliokuwamo kwenye gari hilo walikuwa ni wanafuzi.Picha na Samweli Mikuza
Basi la Dar Express limepata ajali ya kuungua moto JANA asubuhi katika njia panda ya Dar, Arusha, Tanga (Segera) hakuna mtu aliyejeruhiwa wala kupoteza maisha. Katika ajali hiyo mizigo yote iliteketea kwa moto huo ambapo abiria wengi waliokuwamo kwenye gari hilo walikuwa ni wanafuzi.Picha na Samweli Mikuza
Facebook Blogger Plugin by JustNaira.com | Get Widget
Subscribe to:
Post Comments (Atom)




0 comments:
Post a Comment
Toa maoni yako hapa!