StatsCrop - Free website analyzer!

Ads 468x60px

AddToAny

Lorem

Social Icons

October 3, 2012

Ajali yagari yauwa watu Mbeya, magari yateketea kwa moto

Tweeted this Like this, be the first of your Friends
Mdau mwenzetu kutoka Mbeye Yetu Blog,Bwa. Joseph Mwaisango ametuletea habari ya kuvunjika vunjika hivi punde kutoka mkoani Mbeya,kuwa kuna ajali mbaya imetokea muda si mrefu maeneo ya Mbalizi ambapo zaidi ya magari manne yamegongana na mawili kuteketea kwa moto na kupelekea zaidi ya watu kumi kupoteza maisha na wengine 26 kujeruhiwa  akiwemo mbunge wa viti maalum Mary Mwanjelwa baada ya lori la mafuta kungonga magari kadhaa katika eneo la Mbalizi,Wadau kwa picha zaidi ya tukio hili zima ingia http://mbeyayetu.blogspot.com/

 
Baadhi ya maiti zikiwa chini baada ya kutolewa katika magari hayo.

0 comments:

Post a Comment

Toa maoni yako hapa!

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
 
Web Directories
PageHeat