StatsCrop - Free website analyzer!

Ads 468x60px

AddToAny

Lorem

Social Icons

Featured Posts

.

September 16, 2017

PATA KEKI POA KWA BEI POA

Tweeted this Like this, be the first of your Friends

December 7, 2012

NBC YADHAMINI SEMINA YA VIJANA WAJASIRIAMALI

Tweeted this Like this, be the first of your Friends





Meneja Ukuzaji wa Biashara Huduma za Kibenki kwa Wateja Wakubwa naKati wa Benki ya NBC, , Jonathan Bitababaje akitoa mada katika seminaya vijana ya siku mbili kuhusu masuala ya ujasiriamali iliyofanyikakatika Ukumbi wa Don Bosco, Upanga jijini Dar es Salaam na kuandaliwana Shirika lisilo la kiserikali la Vijana la YESi ambayo benki hiyoimedhamini.

Naibu Mkurugenzi wa Vijana katika Wizara ya Vijana, Habari,Michezo na Utamaduni, James Kijugusi akizungumza katika semina yavijana ya siku mbili kuhusu masuala ya ujasiriamali iliyofanyikakatika Ukumbi wa Don Bosco, Upanga jijini Dar es Salaam na kuandaliwana Shirika lisilo la kiserikali la Vijana la YESi, Semina hiyoimedhaminiwa na Benki ya NBC. Kushoto ni Mshauri wa Mahusiano wa benkihiyo, Eddie Mhina na wa pili kulia ni Mwenyekiti wa YESI,

Baadhi ya washiriki wa semina ya vijana kuhusu ujasiriamali

wakifuatilia mada zilizokuwa zikitolewa katika ukumbi wa Don Bosco,Dar es Salaam. Semina hiyo iliyoandaliwa na Shirika lisilo lakiserikali la YESi ilidhaminiwa na Benki ya NBC.

Magazeti Leo Ijumaa Dec. 07

Tweeted this Like this, be the first of your Friends

















November 19, 2012

HAWA NDIO MAPADRE WA KANISA KATOLIKI WALIOVAMIWA NA KUJERUHIWA

Tweeted this Like this, be the first of your Friends

Angelo Burgeo (60).
PAROKO wa Kanisa Katoliki Parokia ya Isimani, wilayani Iringa Angelo Burgeo (60) na msaidizi wake Herman Myalla (36) wamenusurika kufa baada ya kuvamiwa na majambazi waliokuwa na silaha za moto, mapanga na nondo.

Mbali na kupigwa risasi katika ubavu wake wa kushoto na kujeruhiwa vibaya katika tukio hilo lililotokea majira ya 4.45 usiku wa kuamkia leo, Padri Burgeo alijeruhiwa vibaya nyuma ya kichwa chake baada ya kupigwa na nondo.

Akizungumza na wanahabari katika hospitali ya mkoa wa Iringa ambako viongozi wamelazwa kwa ajili ya matibabu, Kaimu Mganga Mfawidhi wa Hospitali hiyo, Dk Faustine Gwanchele alisema Padri Myalla amejeruhiwa vibaya kichwani baada ya kupigwa kwa panga na nondo.

Herman Myalla (36).
"Walifikishwa majira ya saa sita usiku wa kuamkia jana, na wakaanza kupatiwa matibabu wanayoendelea nayo mpaka sasa," alisema na kuongeza kwamba Padri Bergeo alianza kufanyiwa upasuaji jana ili kuondoa vipande vya risasi vilivyopo ndani ya mwili wake.

Tukio hilo limetokea ikiwa siku moja tu baada ya mlinzi wa Kanisa Katoliki Kihesa Iringa Mjini, Bathelomeo Nzigilwa (64) kujeruhiwa vibaya na majambazi waliovunja kanisa hilo na kufanikiwa kuiba mali mbalimbali zikiwemo fedha taslimu.

Dk Gwanchelle alisema hali ya Nzigilwa ni mbaya kwasababu majambazi waliomjeruhi walimvunja mfupa wa sehemu ya nyuma ya kichwa chake.

MAGAZETI YA LEO NOV 19

Tweeted this Like this, be the first of your Friends

.


.


.


.


.


.


.


.


.


.


.


.


.


.


.


.


.


.


.


.


.


.


.


.


.


.


.


.


.


.


.


.


.


November 16, 2012

BAADA YA DODOMA, RAIS KIKWETE ATUA ARUSHA, VIONGOZI WA DINI WAMUOMBEA

Tweeted this Like this, be the first of your Friends
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na viongozi wa dini mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa kilimanjaro jioni leo Novemba 15, 2012 tayari kwa ziara ya siku tatu ya kikazi mkoani Arusha (picha: Ikulu)

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiombewa dua na viongozi wa dini mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa kilimanjaro leo Novemba 15, 2012 tayari kwa ziara ya siku tatu ya kikazi mkoani Arusha (picha: Ikulu)

(picha: Ikulu)

(picha: Ikulu)
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
 
Web Directories
PageHeat