StatsCrop - Free website analyzer!

Ads 468x60px

AddToAny

Lorem

Social Icons

July 16, 2012

ZIARA YA VIONGOZI WA CHADEMA MKOANI SINGIDA.

Tweeted this Like this, be the first of your Friends



Afisa wa sera na utafiti CHADEMA Makao makuu,Waitara Mwita Mwikwabe,akizungumza kwenye mkutano wa hadhara katika kijiji cha Ndago jimbo la Iramba Magharibi.



Mh. John Mnyika (katikati) na baadhi ya Viongozi wa CHADEMA.



Mshauri wa CHADEMA na mhadhiri wa chuo kikuu cha Dar-es-salaam Dk.Kitila Mkumbo akisalimia wakazi wa kijiji cha Ndago jimbo la Iramba Magharibi.



Mbunge wa jimbo la Ubungo jijini Dar-es-salaam John Mnyika akihutubia wakazi wa kijiji cha Ndago jimbo la Iramba Magharibi.



Baadhi ya wakazi wa kijiji cha Ndago jimbo la Iramba Magharibi,wakiitikia salamu ya CHADEMA ya ‘nguvu ya umma’.



Baadhi ya askari wa FFU walioitwa kutuliza vurugu kwenye mkutano wa hadhara ulioitishwa katika kijiji cha Ndago kwa ajili ya viongozi wa CHADEMA kuzungumza nao.



Baadhi ya wakazi wa kijiji cha Ndago waliohudhuria mkutano wa hadhara ulioitishwa kwa ajili ya viongozi wa CHADEMA kuzungumza nao.

0 comments:

Post a Comment

Toa maoni yako hapa!

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
 
Web Directories
PageHeat