StatsCrop - Free website analyzer!

Ads 468x60px

AddToAny

Lorem

Social Icons

June 25, 2012

Mji wa Mombasa washambuliwa kwa mabomu.

Tweeted this Like this, be the first of your Friends

Mtu mmoja ameuwaa na wengine kujeruhiwa na mabomu mjini Mombasa siku moja baada ya onyo kutolewa na  ofisi za ubalozi wa Marekani. 
Polisi mjini Mombasa imesema " mashambulizi hayo yalitokea saa nne usiku kwa muda wa masaa ya Kenya wakati wakazi wa mji huo wanaangalia mshindano ya kombe la Ulaya kwenye bar moja iliyopo Mombasa mjini."
Onyo la mashambulizi katika mji wa Mombasa, lilitiliwa maanani na kuzifanya serikali za nchi za Magharibi kuwaonya wananchi wao kuwa waangalifu watakapo kuwa katika matembezi ya kitalii katika mji wa Mombasa.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
 
Web Directories
PageHeat