StatsCrop - Free website analyzer!

Ads 468x60px

AddToAny

Lorem

Social Icons

September 1, 2012

TAREHE YA NDOA YA ROSE NDAUKA YATANGAZWA

Tweeted this Like this, be the first of your Friends
MUME mtarajiwa wa staa wa filamu Bongo, Rose Ndauka, Malick Bandawe ameweka ‘plain’ kuwa licha ya kuwepo na utata wa hapa na pale, ndoa yake na mwigizaji huyo bado iko palepale.

Akizungumza na mwandishi wetu hivi karibuni katika ofisi zao za Ndauka Entertainment zilizopo Kinondoni jijini, Dar, Malick, alisema ndoa hiyo itafungwa mwezi Novemba mwaka huu.

“Ndoa ipo palepale, kila kitu kitakuwa sawa Novemba mwaka huu. Familia zote mbili zimeshabariki ndoa hii kilichobaki ni maandalizi tu,” alisema Malick.

0 comments:

Post a Comment

Toa maoni yako hapa!

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
 
Web Directories
PageHeat