StatsCrop - Free website analyzer!

Ads 468x60px

AddToAny

Lorem

Social Icons

September 17, 2012

MAUAJI YA WANAWAKE WANAOJIHUSISHA NA BIASHARA YA UKAHABA SASA NI 15, WATATU WAMEUWAWA USIKU WAKUAMKIA LEO

Tweeted this Like this, be the first of your Friends

Rwanda Police publicist Theos Badege says investigations into the killings are underway


Polisi nchini Rwanda wanaendelea na uchunguzi wa mauaji ya wanawake wanaodhaniwa kujihisisha na biashara ya kuuza miili yao ambao mpaka sasa imefikia 15. Uchunguzi huo umechukua mtizamo mpya hasa baada ya mashirika ya kimataifa yanayohusika na haki za binadamu kuingilia kati.
Mmoja wa wakazi wa mji wa Kigali karibu na Nyumba za wageni wanamofanyia biashara hizo amezungumza haya na mdau wetu mjini kigali
"Wanawake hao wamekuwa wakiwaibia watu mali na fedha nyingi hivyo wanaume hao wanavinyongo, wanaume hao wengi unakuta wanawajua wanawake hao kwa sura lakini wao hawawajui kwani wanawateja wengi na hawawezi kuwakumbuka wote, hivyo wanaume hao wanapokuja kulipiza kisasi huja kama wateja wa kawaida na hapo ndipo huwaua wakiwa faragha"


Polisi mjini kigali inawashikilia watu watatu mpaka sasa kuhusiana na mauaji hayo yanayoendelea.

Ex-prostitutes sing and dance to religious songs in Muhanga district

0 comments:

Post a Comment

Toa maoni yako hapa!

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
 
Web Directories
PageHeat