StatsCrop - Free website analyzer!

Ads 468x60px

AddToAny

Lorem

Social Icons

September 11, 2012

WIZARA YA AFYA NA WADAU WAKE YASHEREHEKEA KIDONGE CHA 500 KATIKA MAPAMBANO YA MALARIA

Tweeted this Like this, be the first of your Friends

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dkt Hussein Mwinyi akitoa hotuba wakati wa mkutano wa kusherekea kidonge cha milioni mia 500 ambacho kimepunguza ugonjwa wa malaria kwa asilimia 45,uliofanyika katika Hotel ya Hyatt Regency jijini Dar es salaam leo na kushirikisha wadau mbalimbali wa afya.

Baadhi ya wadau kutoka taasisi za Afya wakiwa katika mkutano huo leo wakushekea kidonge cha milioni mia 500

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dkt Hussein Mwinyi akiwa kwenye picha ya pamoja na wadau wa Afya mara baada ya kumalizika kwa mkutano

0 comments:

Post a Comment

Toa maoni yako hapa!

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
 
Web Directories
PageHeat