Tweeted this
Like this, be the first of your Friends
Mama wa mapacha wanne aamua kuwanyoa wanae kwa staili ya namba ili kuwawezesha walimu kuwatambua
Tan Chaoyun ni mama wa mapacha wanne ambao wamefanana sana kiasi cha kumchanganya hata yeye mwenyewe. Imefikia wakati mmoja wao anaweza fanya kosa lakini akajikuta anamuadhibu mwingine kwa jinsi walivyo fanana. Mama huyo aliongeza kuwa ni afadhali yake ila baba yao ndiyo hawezi kabisa kuwatofautisha.
Hata shuleni walimu wamekuwa wakipata tabu sana kuwatofautisha.
Ila kuwasaidia walimu katika hilo, mama huyo aliamua kuwanyoa watoto wake kwa staili ya namba 1 hadi 4 ili kuwarahisishia walimu kuwatambua watoto hao
September 11, 2012
YULE MAMA WA MAPACHA 4 AWANYOA KWA NAMBA WANAWE ILI WAALIMU WATAMBUE
Millionfortune.com
UDAKU
Facebook Blogger Plugin by JustNaira.com | Get Widget
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment
Toa maoni yako hapa!